Your Health Is Our Priority

Your Health Is Our Priority

Sunday, October 18, 2015

Umuhimu wa Mboga za Majani

Watu wanaokula mboga za majani katika milo yao ya kila siku wana faida kubwa ya kujikinga na magonjwa mbalimbali  sababu mboga za  majani zina madini na virutubisho  vya kutosha ambavyo upungufu wake humpelekea mtu kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa mbalimbali kutokana na upungufu na ukosefu wa madini linzi na virutubisho linzi katika mwili


0 comments:

Post a Comment