Watu wanaokula mboga za majani katika milo yao ya kila siku wana faida kubwa ya kujikinga na magonjwa mbalimbali sababu mboga za majani zina madini na virutubisho vya kutosha ambavyo upungufu wake humpelekea mtu kuwa rahisi kushambuliwa na magonjwa mbalimbali kutokana na upungufu na ukosefu wa madini linzi na virutubisho linzi katika mwili
Sunday, October 18, 2015
Umuhimu wa Mboga za Majani
5:07 PM
No comments
0 comments:
Post a Comment